1. main content
  2. main navigation
  3. extra content
  4. head navigation
  5. search
  6. Choose form 30 Languages

 
 
 

 

Matukio muhimu | 06.01.2009

Majeshi ya Israe yazingira miji ya Gaza

 Vifaru v<ya jeshi la Israel vimezingira miji ya Gaza.

Majeshi ya Israel yaliendeleza mashambulizi yake dhidi ya Hamas katika miji ya ukanda wa Gaza yenye wakaazi wengi baada ya jeshi hilo kulizingira eneo hilo katika juhudi za kuwasaka wafuasi wa kundi la Hamas. »

 

Habari

Juhudi za Kidiplomasia zaendelea kuhusu mzozo katika Gaza

New York


Israeli inaendelea kufanya mashambulio ya nchi kavu na angani dhidi ya wanamgambo wa Hamas katika Ukanda wa Gaza.Jana ... »

More news

Matukio ya Kisiasa | 06.01.2009

Mzozo kuhusu mswada wa kudhibiti Uandishi Habari nchini Kenya

Rose Kimotho, katikati, Mkurugenzi mkuu wa radio ya Kameme - 101.1 FM nchini Kenya.

Hatua ya rais Mwai kibaki kutia saini mswada wa kuvidhibiti vyombo vya habari nchini Kenya imeendelea kupokelewa kwa maoni tofauti huku ikitishia kusababisha mgawanyiko katika serikali ya umoja wa kitaifa.  »

 

Matukio ya Kisiasa | 06.01.2009

Sherehe za Ashura huko Karbala, Iraq, zafikia kilele chake

Maandamano ya kuadhimisha Ashura katika mji mtakatifu wa Najaf, Iraq

Washia waadhimisha Ashura, kukumbuka kuuliwa Imam Hussein »

 

Matukio ya Kisiasa | 06.01.2009

Mzozo wa Uchumi ukabiliwe kwa kupunguza kodi

Bundeskanzlerin Angela Merkel (CDU) sitzt am Dienstag, 30. Dez. 2008 im Bundeskanzleramt in Berlin nach der Aufzeichnung ihrer Neujahrsansprache vor einem Fenster mit Blick auf den Reichstag. Die Ansprache wird am Mittwoch, 31. Dez. 2008 um 20:10 Uhr in der ARD ausgestrahlt. (AP Photo/ Michael Gottschalk,pool) Chancellor Merkel after her New Year's Eve speech was recorded in the Berlin Chancellery on Tuesday, Dec. 30, 2008. The speech will be broadcasted on Dec. 31, 2008 in German TV. (AP Photo/ Michael Gottschalk,pool)

Viongozi wa vyama ndugu vya CDU na CSU na chama shirika serikalini SPD walikutana siku ya Jumatatu kuujadili mpango wa pili wa msaada wa serikali kufufua uchumi uliozorota. »

 

Matukio muhimu | 06.01.2009

Mapigano yapamba Moto Gaza.

Vifaru vya jeshi la Israel vikizingira maeneo ya miji katika ukanda wa Gaza.

Majeshi ya Israle yaliendeleza na mashambulizi yake dhidi ya Hamas katika miji kadhaa yenye idadi kubwa ya watu katika eneo la Gaza licha ya wito kutolewa kwa kusimamisha mapigano hayo.  »

 


 
Picture of the Day
ImageOfTheDay

DW-TV EUROPE live

Im Focus - Die deutsche Buschfamilie